Kila mtu ana haki kuishi nairobi lakini kuna watu huharibia Nairobi sifa.
Watu wa kutoka mitaa ifuatayo,tafadhali kwa heshima na utu wenyu msirudi kufikiria mko Nai.
-ruiru
-juja
-kiambu
-kikuyu
-kinoo
-ruai
-utawala
-ngong
-kitengela
-kahawa west.
-syokimau.
-kamulu
-thome/marurui
-athi river
-kiserian
-matopeni
-matasia
-rongai
Na places zingine zote zenye:
-lazma mlale kwa gari.
-kabla gari iondoke stage kuna hawkers wanauza maji kwa dirisha.
-gari inaenda hadi mnjauana na neiba next seat.
-unaskia dere akisema "kwani ule mama tunachukuanga hapa leo amechelewa" ,"hatuna loose atachukua change kesho!"
-watu wanajuana karibu wote kwa mat "unaona leo ulikua karibu kuachwa,jana ulienda na gani?".
-kwenu hakujaandikwa waititu 4 governor.
-abiria wanaambianga dere azime radio ati ndo waongee vizuri
-stori za abiria haziishangi mpaka gari ikifika mwisho hawataki kutoka ati ndo waendelee kuongea.
-98% ya abiria wanaongea vernacular
WEWE UKO MASHAMBANI!! Na si ati juu kuna maflats na gari nyingi kumequalify kuwa Nairobi.
TRENDING THIS WEEK
- Governor Mutua unveils ambulances for Machakos county
- University student charged with killing girlfriend
- Technical University of Kenya Students take to the streets over HELB loans
- Don't talk politics here, Uhuru told
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Acronyms and abbreviations gone bad
- Kenyatta University Student leader’s dirty secrets exposed days after he led students in protests
- Hilarious visions of hell - which would you choose?
- Alshabaab militants claim responsibility for Lamu bus ambush
- 228 pieces of ivory seized in Mombasa