Kila mtu ana haki kuishi nairobi lakini kuna watu huharibia Nairobi sifa.
Watu wa kutoka mitaa ifuatayo,tafadhali kwa heshima na utu wenyu msirudi kufikiria mko Nai.
-ruiru
-juja
-kiambu
-kikuyu
-kinoo
-ruai
-utawala
-ngong
-kitengela
-kahawa west.
-syokimau.
-kamulu
-thome/marurui
-athi river
-kiserian
-matopeni
-matasia
-rongai
Na places zingine zote zenye:
-lazma mlale kwa gari.
-kabla gari iondoke stage kuna hawkers wanauza maji kwa dirisha.
-gari inaenda hadi mnjauana na neiba next seat.
-unaskia dere akisema "kwani ule mama tunachukuanga hapa leo amechelewa" ,"hatuna loose atachukua change kesho!"
-watu wanajuana karibu wote kwa mat "unaona leo ulikua karibu kuachwa,jana ulienda na gani?".
-kwenu hakujaandikwa waititu 4 governor.
-abiria wanaambianga dere azime radio ati ndo waongee vizuri
-stori za abiria haziishangi mpaka gari ikifika mwisho hawataki kutoka ati ndo waendelee kuongea.
-98% ya abiria wanaongea vernacular
WEWE UKO MASHAMBANI!! Na si ati juu kuna maflats na gari nyingi kumequalify kuwa Nairobi.
TRENDING THIS WEEK
- NACADA seeking to limit use of Miraa between 5 and 10 pm
- Alaine set for epic performance at City Cabanas
- Adventures of Beryl Itindi
- Shocking details of Kibera’s live sex shows
- Father of two dies after allegedly taking quail eggs
- CNN, did you get it right?
- CORD's statement on alleged cancellation of Eldoret rallies
- Meet Ngozi, the dreaded gangster who was hired to terrorize Eastleigh
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Blogger Robert Alai commended for his informative tweets