Kila mtu ana haki kuishi nairobi lakini kuna watu huharibia Nairobi sifa.
Watu wa kutoka mitaa ifuatayo,tafadhali kwa heshima na utu wenyu msirudi kufikiria mko Nai.
-ruiru
-juja
-kiambu
-kikuyu
-kinoo
-ruai
-utawala
-ngong
-kitengela
-kahawa west.
-syokimau.
-kamulu
-thome/marurui
-athi river
-kiserian
-matopeni
-matasia
-rongai
Na places zingine zote zenye:
-lazma mlale kwa gari.
-kabla gari iondoke stage kuna hawkers wanauza maji kwa dirisha.
-gari inaenda hadi mnjauana na neiba next seat.
-unaskia dere akisema "kwani ule mama tunachukuanga hapa leo amechelewa" ,"hatuna loose atachukua change kesho!"
-watu wanajuana karibu wote kwa mat "unaona leo ulikua karibu kuachwa,jana ulienda na gani?".
-kwenu hakujaandikwa waititu 4 governor.
-abiria wanaambianga dere azime radio ati ndo waongee vizuri
-stori za abiria haziishangi mpaka gari ikifika mwisho hawataki kutoka ati ndo waendelee kuongea.
-98% ya abiria wanaongea vernacular
WEWE UKO MASHAMBANI!! Na si ati juu kuna maflats na gari nyingi kumequalify kuwa Nairobi.
TRENDING THIS WEEK
- Meet Ngozi, the dreaded gangster who was hired to terrorize Eastleigh
- Celebrating Heritage - Omieri, the Great Snake of Nyakach
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Meanings of Kalenjin names
- Jobless graduates exempted from repaying HELB loans
- Police urge humanitarian groups to stay clear of Kasarani
- Let the Makueni poll be calm and peaceful
- Hilarious visions of hell - which would you choose?
- Echoes from the past: How Moi survived the coup
- Exposed: Vera Sidika caught in prostitution scandal





