Kila mtu ana haki kuishi nairobi lakini kuna watu huharibia Nairobi sifa.
Watu wa kutoka mitaa ifuatayo,tafadhali kwa heshima na utu wenyu msirudi kufikiria mko Nai.
-ruiru
-juja
-kiambu
-kikuyu
-kinoo
-ruai
-utawala
-ngong
-kitengela
-kahawa west.
-syokimau.
-kamulu
-thome/marurui
-athi river
-kiserian
-matopeni
-matasia
-rongai
Na places zingine zote zenye:
-lazma mlale kwa gari.
-kabla gari iondoke stage kuna hawkers wanauza maji kwa dirisha.
-gari inaenda hadi mnjauana na neiba next seat.
-unaskia dere akisema "kwani ule mama tunachukuanga hapa leo amechelewa" ,"hatuna loose atachukua change kesho!"
-watu wanajuana karibu wote kwa mat "unaona leo ulikua karibu kuachwa,jana ulienda na gani?".
-kwenu hakujaandikwa waititu 4 governor.
-abiria wanaambianga dere azime radio ati ndo waongee vizuri
-stori za abiria haziishangi mpaka gari ikifika mwisho hawataki kutoka ati ndo waendelee kuongea.
-98% ya abiria wanaongea vernacular
WEWE UKO MASHAMBANI!! Na si ati juu kuna maflats na gari nyingi kumequalify kuwa Nairobi.
TRENDING THIS WEEK
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Insha ya Kiswahili ya Omondi
- Gunmen raid Mandera in fresh inter-clan clashes
- Appeal Court upholds Wambora's reinstatement as Embu governor
- Mombasa County Commissioner urged to stop politicizing security
- Meanings of Kalenjin names
- TWA TWA!! Candy N Candy Founder Joe Kariuki Bags Prestigious Award
- An Upcoming Artiste beaten Like A Burukenge By NRG Presenter Mwalimu Rachel-PHOTOS
- Meet The Most Generous Kenyan Philanthropist
- Another Win For Wangari Maathai!Vibo Africa has moved to shake up the continent with an award aiming to shine a light on Africa’s unsung heroes.





