Kila mtu ana haki kuishi nairobi lakini kuna watu huharibia Nairobi sifa.
Watu wa kutoka mitaa ifuatayo,tafadhali kwa heshima na utu wenyu msirudi kufikiria mko Nai.
-ruiru
-juja
-kiambu
-kikuyu
-kinoo
-ruai
-utawala
-ngong
-kitengela
-kahawa west.
-syokimau.
-kamulu
-thome/marurui
-athi river
-kiserian
-matopeni
-matasia
-rongai
Na places zingine zote zenye:
-lazma mlale kwa gari.
-kabla gari iondoke stage kuna hawkers wanauza maji kwa dirisha.
-gari inaenda hadi mnjauana na neiba next seat.
-unaskia dere akisema "kwani ule mama tunachukuanga hapa leo amechelewa" ,"hatuna loose atachukua change kesho!"
-watu wanajuana karibu wote kwa mat "unaona leo ulikua karibu kuachwa,jana ulienda na gani?".
-kwenu hakujaandikwa waititu 4 governor.
-abiria wanaambianga dere azime radio ati ndo waongee vizuri
-stori za abiria haziishangi mpaka gari ikifika mwisho hawataki kutoka ati ndo waendelee kuongea.
-98% ya abiria wanaongea vernacular
WEWE UKO MASHAMBANI!! Na si ati juu kuna maflats na gari nyingi kumequalify kuwa Nairobi.
TRENDING THIS WEEK
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Parallel referenda to address Kenyan issues would be illogical
- The bid to neutralise civil society and the media will backfire sooner or later
- Another Win For Wangari Maathai!Vibo Africa has moved to shake up the continent with an award aiming to shine a light on Africa’s unsung heroes.
- Celebrating Heritage - Omieri, the Great Snake of Nyakach
- Budding flower of the rift
- Kenyas Best Deejays All Set To Perform at Dubai 7s After Party.
- Of Kenyan industries, looting and plunder by the elite
- An Upcoming Artiste beaten Like A Burukenge By NRG Presenter Mwalimu Rachel-PHOTOS
- The Uhuru and Jubilee Eurobond lies





