Ian Juko's stories

25 Oct 2013

Sema kuwa Romantic

Jana nilikuwa napiga tu round zangu chuka stage kwa upekuzi wangu nikaona kadem kasupuu kamekaa solo kwa bench..... mimi nani... nikajitupa hapo..

Kalikuwa kanakaa kama kameboeka... i wanted kukakatia lakini kwa ujanja... mwanaume ni ujanja..pupa achia punda.

Sasa coz mimi huwa very Romantic, nilitoa my S4, nikafungua kaplay list ka romantic songs.. Nikapandisha kavolume na kuanza kuachilia... Judy Boucher... You caught my eyes... ikaimba... dem nikaona ametulia....

Sema marc Antony... I need u... "From the day i met u gal...." Brian Adams.. Enrique.. Hero.., #1.. to Celine deon... vile niliangalia dem.. nikanotice hakuwa na haraka ya kumove... Nikajua nimempata.. mwanaume ni akili.. nywele achia wanawake...

Sasa vile nilikuwa nataka kufika climax nidrive message home na Romeo ya Lucky dube, nikasikia dem akaniguza... sema furaha... akaniagalia kwa macho then akaanza kutoa sign language fulani hapo... Nikamuuliza.. "Nini?".. Nikajua ni kuchanganyikiwa na love.

Nikaona anajaribu kutoa sauti flani... na sign language akiguza mkono wake..
Ndo beshte wake akatokea akanishoo.."Anauliza ni saa ngapi. Huwa hasikii. Ni kiziwi. Pia
haongei..."...

JOIN GROUP KENYA


 

ADVERTISEMENTS