Kuna nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila mfuniko.
Siku moja karudi usiku kalewa tooooop, mambo yakawa hivi:
MUME: Fungua mlango!
MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.
MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!.
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo dubwi!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka wapi usiku huu na kanga moja.
TRENDING THIS WEEK
- Perfect Globalization
- Are you about to speak vernacular in public? Use discretion
- Governor Kidero shuts down alleged racist restaurant in Nairobi
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Thinking Economics
- KNUT and KUPPET officials welcome CORD’s Mpesa call
- Duale sails into stormy waters over insulting remarks
- How Kenyan tribes behave according to the Bible
- Majibu za makanga
- The NHIF Job





