Kuna nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila mfuniko.
Siku moja karudi usiku kalewa tooooop, mambo yakawa hivi:
MUME: Fungua mlango!
MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.
MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!.
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo dubwi!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka wapi usiku huu na kanga moja.
TRENDING THIS WEEK
- The NHIF Job
- Majibu za Makanga on Facebook
- Trusting on men not knowing how helpless they are
- Police are killing more people than criminals in Kenya, report reveals
- Jubilee government is a failure dragging us down with it
- Why Raila Odinga is my candidate for president in 2013
- Police raid office of Supreme Council of Kenya Muslims official
- Jubilee leaders nearly exchange blows at public function
- Kenya drops to position 111 in latest Fifa ranking
- Si matatu peke ambazo hazijai, hata boda





