Kuna nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila mfuniko.
Siku moja karudi usiku kalewa tooooop, mambo yakawa hivi:
MUME: Fungua mlango!
MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.
MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!.
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo dubwi!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka wapi usiku huu na kanga moja.
TRENDING THIS WEEK
- Al-Shabaab chief announces they are shifting the war to Kenya
- INFOGRAPHIC: Why your Kenyan business needs a professional website
- Keep moving. Stay brave
- Church defends explicit poster
- Shocking details of Kibera’s live sex shows
- The High Court allows charges to be filed against Ngilu
- Celebrating Dedan Kimathi wa Wachiuri, real Kenyan heroes
- My way to exile, Raila Odinga
- Swearing in postponed
- CIC accuses Uhuru of constitutional transgression





