Relationship gani hii sasa!

23 Jun 2014

DEM: Hallo babie naomba unitumie credit ya 500 na ukija nyumbani usisahau kuja na chips kuku coz niko na friends zangu. Alaf babie nadaiwa 3000 nilikopa kwa ajili ya birthday ya rafiki yangu. Pia swty naomba uniongezee 4000 ya viatu na 2000 ya saloon si unajua leo ni weekend.

Na usisahau kunipa 5000 nitengeneze laptop yangu coz sijaingia fb tangu Thursdayhalafu honey kucha zangu zimeharibika nataka nikafanye manicure na pedicure kwa hivyo nahitaji 2000 halafu babie tunakuja na taxi na cjalipa ila tunadaiwa hela ndogo shillingi 1000 i love you beiby!!! mwaaaaaaaaaest!!

Sasa Huyu Ni Mpenzi Ama Jambazi!!

JOIN GROUP KENYA


 

ADVERTISEMENTS