DEM: Hallo babie naomba unitumie credit ya 500 na ukija nyumbani usisahau kuja na chips kuku coz niko na friends zangu. Alaf babie nadaiwa 3000 nilikopa kwa ajili ya birthday ya rafiki yangu. Pia swty naomba uniongezee 4000 ya viatu na 2000 ya saloon si unajua leo ni weekend.
Na usisahau kunipa 5000 nitengeneze laptop yangu coz sijaingia fb tangu Thursdayhalafu honey kucha zangu zimeharibika nataka nikafanye manicure na pedicure kwa hivyo nahitaji 2000 halafu babie tunakuja na taxi na cjalipa ila tunadaiwa hela ndogo shillingi 1000 i love you beiby!!! mwaaaaaaaaaest!!
Sasa Huyu Ni Mpenzi Ama Jambazi!!
TRENDING THIS WEEK
- Gay people to be stoned to death if new law is passed
- Precautions to take when dating a Kikuyu lady
- Standing up for the African Girl Child
- Additional Sh3.5 billion claimed by Anglo leasing companies
- Uhuru's politics is about persuasion and inclusion
- How to spot a Kenyan
- Death toll in Garissa University terror strike hits 147
- Kenya classified as high risk for Ebola virus by WHO
- Court nullyfies Jomo Kenyatta's order on beach plots
- Appeal Court upholds Wambora's reinstatement as Embu governor