> Mwanaumme ni kukiss dame wake kila wakati ndo asiongee maneno mob
> Mwanaume nikupiga gate ya plot na mawe kubwa ndio majirani watoke waone akiingia na dem msupuu.
> Mwanaume ni kununua njugu kumwaga kwa mfuko na kutembea akikula moja moja.
> Mwanaume ni kupanga grains za mahindi kwa path hadi ndani ya nyumba yake ndo kuku ya jirani iingie kwake.
> Mwanaume ni kuweka sufuria empty kwa jiko then ikikuwa moto anamwagilia maji ndo jirani wajue anakaranga nyama.
> Mwanaume ni kumshika dem mkono kwa super-market ndio asi pick vitu ovyo ovyo.
> Mwanaume ni kucatwalk kwa nyumba ndo panya zitoroke.
> Mwanaume ni kuenda kubadilisha mtungi ya gas na kurudi na ya keg.
> Mwanaume ni kufunga mlango na kufuli mbili ndio landlord akikam asipate space ya kuweka yake.
> Mwanaume ni kumeza sphaghetti mzima ndio aconfuse minyoo.
TRENDING THIS WEEK
- Governor Mutua unveils ambulances for Machakos county
- Ole Lenku fires warning shot at Raila over rallies
- What really matters in life - the real essence
- Thinking of giving up? Here's something you must understand
- You have the keys - now start unlocking the doors!
- How alcohol ruined my life
- ODM wins Kajiado parliamentary seat in close contest
- Why you should never ask a Luo to speak English
- Five killed after bus rams saloon car in Bomet
- Sofapaka retains Kenya Power Charity Cup