Kila mtu ana haki kuishi nairobi lakini kuna watu huharibia Nairobi sifa.
Watu wa kutoka mitaa ifuatayo,tafadhali kwa heshima na utu wenyu msirudi kufikiria mko Nai.
-ruiru
-juja
-kiambu
-kikuyu
-kinoo
-ruai
-utawala
-ngong
-kitengela
-kahawa west.
-syokimau.
-kamulu
-thome/marurui
-athi river
-kiserian
-matopeni
-matasia
-rongai
Na places zingine zote zenye:
-lazma mlale kwa gari.
-kabla gari iondoke stage kuna hawkers wanauza maji kwa dirisha.
-gari inaenda hadi mnjauana na neiba next seat.
-unaskia dere akisema "kwani ule mama tunachukuanga hapa leo amechelewa" ,"hatuna loose atachukua change kesho!"
-watu wanajuana karibu wote kwa mat "unaona leo ulikua karibu kuachwa,jana ulienda na gani?".
-kwenu hakujaandikwa waititu 4 governor.
-abiria wanaambianga dere azime radio ati ndo waongee vizuri
-stori za abiria haziishangi mpaka gari ikifika mwisho hawataki kutoka ati ndo waendelee kuongea.
-98% ya abiria wanaongea vernacular
WEWE UKO MASHAMBANI!! Na si ati juu kuna maflats na gari nyingi kumequalify kuwa Nairobi.
TRENDING THIS WEEK
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Anti-referendum hooligans attack Nandi officials
- I will not appear before parliamentarians, Raila
- Are they socialites or just expensive prostitutes
- My way to exile, Raila Odinga
- Media blamed for ODM cracks as Namwamba remains mum at press conference
- Christmas jokes
- Are you about to speak vernacular in public? Use discretion
- A quiet man is a thinkin man, a quiet woman?
- Parliamentary committee plans to summon Raila over Ababu tape





