1.Kama dem ni Mjaka, bora apate sofasets baridi, carpet, flat screen TV alafu aone uko na suits kadhaa kwa hanger hata umtoe na panga utamkata tu lakini hataenda.
2.Kama ni Mkikuyu, bora apate uko na mali worth 200k ama zaidi walai bilai hata umwitie chief na mzee wa mtaa hawezi toka.
3.Kama ni Mluhya, bora akiingia aone ndoo imejaa unga na kuna chai, mkate na maandazi hata uite tractor imvurute haitaweza kumtoa.
4.Kama ni Mkamba, bora apate una shamba, chakula na maji ya kutosha. Hata umtishe na powersaw aki ya nani utamkata tu lakini hataenda coz kwake ni kama amefika Canaan.
5.Kama ni Mkisii, bora hakuna dalili ya nguo ya mwanamke mwingine kwa hiyo nyumba. Utamwoa upende usipende!
TRENDING THIS WEEK
- National Land Commission ignores Uhuru's order on land titles
- Group Kenya news roundup
- Study: Many Kenyans sleeping hungry
- University staff threaten to strike if dues not met
- LSK urges prosecution over social media hate speech
- Gado's take
- NEW TWIST: Police claim MRC carried out attack in Lamu
- Bungoma youth have claimed that weed helps keep peace
- Nishike by Sauti Sol is a musical fail
- Orengo denies adverse involvement in Lamu land allocations