Hebu tuheshimiane. Acheni madharau za pesa nane.
> I was walking along Muthithi road beshte yangu aka-roll na ndaƬ na kudai, "Vipi boss nikuwai lift?"Nani boss kati ya mi na yeye?
> Unakunywa keg yet kifala flani kinakushow umbaiye RedBull.
> Uko job yet una flash hustler.
> Madame kudai umlipie taco yet unakaa Mukuru ama no nane.
> Unatumia C118 halafu dame yako anakudai umsambaze 5 bob yet anatumia BlackBerry ama Tablet.
> You live unda medication na ma-doki wamegoma yet best yako, anakushow, si ujifanye uko msick upewe off.
> Msee anajua tu poa that huna teli kwako yet anakuuliza kama ulicheki game/news jana usiku. Alitaka ulale kwa neighbour?
> Unadunga mjengo inda yet kibuda fulani kwa mat anakudaisha change ya thao.
> Unaenda supermarket, una buy vitu mob na change ni 68 bob cashier anakushow utake pad ama lolipop.
> Unaspin tuktuk yet dame ako na RRS anakushow, "Your tire is flat." > Kwenu mko familia ya mtu kumi yet besty yako anakushow, "Hawa watu huzaana ovyo do wameharibu our economy".
> Teachers wako on strike yet una ask mmoja wao kwani wanalipagwa ngapi.
> Kukosa ku-contribute kwa fundraiser ya msee yet umetumia 500 fare kuattend.
> Jamaa anakushow ule poko/ barmaid wako anakutafuta yet mko na bibi / manzi yako.
TRENDING THIS WEEK
- NgiluSinghJokes - Kenyan trends rock! Part 1
- Rogue police shoot at anti-corruption officers to escape bribery charge
- How they fixed Ruto to the ICC - VIDEO
- Ladies only - match your man to a bank
- Lecturers issue fresh threat in pay dispute
- Budget estimates - How Jubilee plans to spend your billions
- Wetangula's take on felonious land directives
- Uhuru broke the law in rejecting judicial nominees, lawyers say
- Universities lower entry requirements under new admissions body
- Major USAID project for youth in Western Kenya