> Mwanaumme ni kukiss dame wake kila wakati ndo asiongee maneno mob
> Mwanaume nikupiga gate ya plot na mawe kubwa ndio majirani watoke waone akiingia na dem msupuu.
> Mwanaume ni kununua njugu kumwaga kwa mfuko na kutembea akikula moja moja.
> Mwanaume ni kupanga grains za mahindi kwa path hadi ndani ya nyumba yake ndo kuku ya jirani iingie kwake.
> Mwanaume ni kuweka sufuria empty kwa jiko then ikikuwa moto anamwagilia maji ndo jirani wajue anakaranga nyama.
> Mwanaume ni kumshika dem mkono kwa super-market ndio asi pick vitu ovyo ovyo.
> Mwanaume ni kucatwalk kwa nyumba ndo panya zitoroke.
> Mwanaume ni kuenda kubadilisha mtungi ya gas na kurudi na ya keg.
> Mwanaume ni kufunga mlango na kufuli mbili ndio landlord akikam asipate space ya kuweka yake.
> Mwanaume ni kumeza sphaghetti mzima ndio aconfuse minyoo.
TRENDING THIS WEEK
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Kenya show might against Senegal
- Only a Kenyan Kikuyu will say this
- Hilarious visions of hell - which would you choose?
- Police allegedly kill Nyeri mason in family farm
- Kenya Red Cross suspends operations in Mandera after ambulances get attacked
- Sema shida...
- Lupita Nyong'o beats Jennifer Lawrence to the Oscar
- I'm in CORD all the way, declares Ababu Namwamba
- Esther Arunga also charged over son's death in Australia