> Mwanaumme ni kukiss dame wake kila wakati ndo asiongee maneno mob
> Mwanaume nikupiga gate ya plot na mawe kubwa ndio majirani watoke waone akiingia na dem msupuu.
> Mwanaume ni kununua njugu kumwaga kwa mfuko na kutembea akikula moja moja.
> Mwanaume ni kupanga grains za mahindi kwa path hadi ndani ya nyumba yake ndo kuku ya jirani iingie kwake.
> Mwanaume ni kuweka sufuria empty kwa jiko then ikikuwa moto anamwagilia maji ndo jirani wajue anakaranga nyama.
> Mwanaume ni kumshika dem mkono kwa super-market ndio asi pick vitu ovyo ovyo.
> Mwanaume ni kucatwalk kwa nyumba ndo panya zitoroke.
> Mwanaume ni kuenda kubadilisha mtungi ya gas na kurudi na ya keg.
> Mwanaume ni kufunga mlango na kufuli mbili ndio landlord akikam asipate space ya kuweka yake.
> Mwanaume ni kumeza sphaghetti mzima ndio aconfuse minyoo.
TRENDING THIS WEEK
- What is in a career? The meanings of different careers
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- KCPE and KCSE leaked questions!
- What each Kenyan tribe would do with a 1 million shilling loan
- KNUT and KUPPET officials welcome CORD’s Mpesa call
- Don’t fret, simply call me Raila
- ‘My son could no longer recognize me,’ Janet Mbugua on why she quit TV
- Confessions of a Nairobi bridesmaid
- How to take care of a Kenyan wife
- East Africa Law Society faults government backed PUSETU




