> Mwanaumme ni kukiss dame wake kila wakati ndo asiongee maneno mob
> Mwanaume nikupiga gate ya plot na mawe kubwa ndio majirani watoke waone akiingia na dem msupuu.
> Mwanaume ni kununua njugu kumwaga kwa mfuko na kutembea akikula moja moja.
> Mwanaume ni kupanga grains za mahindi kwa path hadi ndani ya nyumba yake ndo kuku ya jirani iingie kwake.
> Mwanaume ni kuweka sufuria empty kwa jiko then ikikuwa moto anamwagilia maji ndo jirani wajue anakaranga nyama.
> Mwanaume ni kumshika dem mkono kwa super-market ndio asi pick vitu ovyo ovyo.
> Mwanaume ni kucatwalk kwa nyumba ndo panya zitoroke.
> Mwanaume ni kuenda kubadilisha mtungi ya gas na kurudi na ya keg.
> Mwanaume ni kufunga mlango na kufuli mbili ndio landlord akikam asipate space ya kuweka yake.
> Mwanaume ni kumeza sphaghetti mzima ndio aconfuse minyoo.
TRENDING THIS WEEK
- Kenya's entertainment industry mourn veteran comedian, Mzee Ojwang'
- Kenyans dominate London race Kenyans dominate London race
- Cord holds mammoth rally in Eldoret
- Kiambu Governor threatens to sue Duale over baseless accusations
- Police close down Maina Njenga's church in Kitengela
- Attackers raid Garissa University college, at least 15 killed
- How Kenyan communities have reacted to the Westgate attack
- The bid to neutralise civil society and the media will backfire sooner or later
- The types of Kenyans you will find on Facebook
- New plot by Jubilee to remove Ababu Namwamba from PAC




