> Mwanaumme ni kukiss dame wake kila wakati ndo asiongee maneno mob
> Mwanaume nikupiga gate ya plot na mawe kubwa ndio majirani watoke waone akiingia na dem msupuu.
> Mwanaume ni kununua njugu kumwaga kwa mfuko na kutembea akikula moja moja.
> Mwanaume ni kupanga grains za mahindi kwa path hadi ndani ya nyumba yake ndo kuku ya jirani iingie kwake.
> Mwanaume ni kuweka sufuria empty kwa jiko then ikikuwa moto anamwagilia maji ndo jirani wajue anakaranga nyama.
> Mwanaume ni kumshika dem mkono kwa super-market ndio asi pick vitu ovyo ovyo.
> Mwanaume ni kucatwalk kwa nyumba ndo panya zitoroke.
> Mwanaume ni kuenda kubadilisha mtungi ya gas na kurudi na ya keg.
> Mwanaume ni kufunga mlango na kufuli mbili ndio landlord akikam asipate space ya kuweka yake.
> Mwanaume ni kumeza sphaghetti mzima ndio aconfuse minyoo.
TRENDING THIS WEEK
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Inspirational: The relative truth is...
- The bid to neutralise civil society and the media will backfire sooner or later
- In the courts ...
- WHY RAILA'S SWEARING IN MIGHT HIT THE HARD ROCK
- Tweets and status updates that will break your ribs
- Kenyan Twitter trends #SabuniYa37K, what they said ...
- Governor Kidero shuts down alleged racist restaurant in Nairobi
- Confessions of a Nairobi bridesmaid
- Types of husbands. Which are you?




