> Mwanaumme ni kukiss dame wake kila wakati ndo asiongee maneno mob
> Mwanaume nikupiga gate ya plot na mawe kubwa ndio majirani watoke waone akiingia na dem msupuu.
> Mwanaume ni kununua njugu kumwaga kwa mfuko na kutembea akikula moja moja.
> Mwanaume ni kupanga grains za mahindi kwa path hadi ndani ya nyumba yake ndo kuku ya jirani iingie kwake.
> Mwanaume ni kuweka sufuria empty kwa jiko then ikikuwa moto anamwagilia maji ndo jirani wajue anakaranga nyama.
> Mwanaume ni kumshika dem mkono kwa super-market ndio asi pick vitu ovyo ovyo.
> Mwanaume ni kucatwalk kwa nyumba ndo panya zitoroke.
> Mwanaume ni kuenda kubadilisha mtungi ya gas na kurudi na ya keg.
> Mwanaume ni kufunga mlango na kufuli mbili ndio landlord akikam asipate space ya kuweka yake.
> Mwanaume ni kumeza sphaghetti mzima ndio aconfuse minyoo.
TRENDING THIS WEEK
- Thirteen KDF soldiers injured along Nairobi-Naivasha highway
- Shocking details of Kibera’s live sex shows
- Raila's letter to Chief Justice Willy Mutunga
- Meet Ngozi, the dreaded gangster who was hired to terrorize Eastleigh
- Complete list for the 2014 Groove Awards Nominees
- Jastorina actor dies hours after bagging Kalasha Award
- Unsolicited advice to a young person
- The love for ranking and our inadequacies
- Major USAID project for youth in Western Kenya
- Study: Many Kenyans sleeping hungry