> Mwanaumme ni kukiss dame wake kila wakati ndo asiongee maneno mob
> Mwanaume nikupiga gate ya plot na mawe kubwa ndio majirani watoke waone akiingia na dem msupuu.
> Mwanaume ni kununua njugu kumwaga kwa mfuko na kutembea akikula moja moja.
> Mwanaume ni kupanga grains za mahindi kwa path hadi ndani ya nyumba yake ndo kuku ya jirani iingie kwake.
> Mwanaume ni kuweka sufuria empty kwa jiko then ikikuwa moto anamwagilia maji ndo jirani wajue anakaranga nyama.
> Mwanaume ni kumshika dem mkono kwa super-market ndio asi pick vitu ovyo ovyo.
> Mwanaume ni kucatwalk kwa nyumba ndo panya zitoroke.
> Mwanaume ni kuenda kubadilisha mtungi ya gas na kurudi na ya keg.
> Mwanaume ni kufunga mlango na kufuli mbili ndio landlord akikam asipate space ya kuweka yake.
> Mwanaume ni kumeza sphaghetti mzima ndio aconfuse minyoo.
TRENDING THIS WEEK
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Mwanaume ni...
- Shocking details of Kibera’s live sex shows
- Kenya running out of coins?
- How Jubilee supporters answer questions - by Obina Ike
- Radical cleric, Makaburi gunned down in Mombasa
- How Kenyan tribes behave according to the Bible
- Kenya has no socialites, just high class prostitutes
- In other news: Coast guy Kideros mzungu
- The different names and nicknames of money