> Mwanaumme ni kukiss dame wake kila wakati ndo asiongee maneno mob
> Mwanaume nikupiga gate ya plot na mawe kubwa ndio majirani watoke waone akiingia na dem msupuu.
> Mwanaume ni kununua njugu kumwaga kwa mfuko na kutembea akikula moja moja.
> Mwanaume ni kupanga grains za mahindi kwa path hadi ndani ya nyumba yake ndo kuku ya jirani iingie kwake.
> Mwanaume ni kuweka sufuria empty kwa jiko then ikikuwa moto anamwagilia maji ndo jirani wajue anakaranga nyama.
> Mwanaume ni kumshika dem mkono kwa super-market ndio asi pick vitu ovyo ovyo.
> Mwanaume ni kucatwalk kwa nyumba ndo panya zitoroke.
> Mwanaume ni kuenda kubadilisha mtungi ya gas na kurudi na ya keg.
> Mwanaume ni kufunga mlango na kufuli mbili ndio landlord akikam asipate space ya kuweka yake.
> Mwanaume ni kumeza sphaghetti mzima ndio aconfuse minyoo.
TRENDING THIS WEEK
- Sauti Sol get to reclaim their glory with hit song, Sura Yako
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Meanings of Kalenjin names
- Celebrating Heritage - Omieri, the Great Snake of Nyakach
- Forex Company Empowers Techies to Fight Locust Invasion
- Precautions to take when dating a Kikuyu lady
- Zambia to tax WhatsApp calls
- Are they socialites or just expensive prostitutes
- 50 years on, what shall we be celebrating?
- Aromat risks recal over GMO ingredients




