Kuna nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila mfuniko.
Siku moja karudi usiku kalewa tooooop, mambo yakawa hivi:
MUME: Fungua mlango!
MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.
MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!.
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo dubwi!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka wapi usiku huu na kanga moja.
TRENDING THIS WEEK
- Shocking Details of Nairobi's Thriving Porn Industry
- Anti-referendum hooligans attack Nandi officials
- Jaluo in the house....
- I will not appear before parliamentarians, Raila
- Are they socialites or just expensive prostitutes
- My way to exile, Raila Odinga
- Conservation efforts for the Mau are all welcome
- How to spot a Kenyan lady
- Meet the fastest rising female kalenjin musician
- Media blamed for ODM cracks as Namwamba remains mum at press conference





